Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Kilimo

Tafuta
Ruangwa Dc na Mtama Dc wapata mafunzo rejea kwa maafisa ugani wa umma
Ruangwa Dc na Mtama Dc wapata mafunzo rejea kwa maafisa ugani wa umma

Imewekwa 28th January, 2022 13:52

Maafisa ugani wa umma kutoka halmashauri ya Mtama na Ruangwa Dc wapatiwa mafunzo rejea kwa mazao ya ufuta na alizeti yaliyotolewa na wizara ya kilimo kwa kushirikiana na AMDT kwa…

Maafisa Ugani Ruangwa wapata learning visit
Maafisa Ugani Ruangwa wapata learning visit

Imewekwa 28th January, 2022 15:17

Maafisa ugan kutoka kata za LIKUNJA, NKOWE,CHIEJELE na MNACHO Ruangwa Dc ambazo uzalisha mazao  ya mboga mboga na matunda wamewezeshwa na Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya Ruangwa kwenda kujifunza katika…

Wakulima wa Zao la Pamba Kitalu cha Wilaya ya Igunga  kupata Elimu ya Udhibiti wa Visumbufu
Wakulima wa Zao la Pamba Kitalu cha Wilaya ya Igunga kupata Elimu ya Udhibiti wa Visumbufu

Imewekwa 29th January, 2022 12:31

Pamba ni zao la kimkakati ambalo limeendelea kunufaisha wakulima wengi Wilayani Igunga. katika msimu wa kilimo 2021/2022  wakulima wameendelea kutunza zao la Pamba katika Hatua mbalimbali. wengi wao walipanda zao…

MATUNDA YA BALOZI WA PAMBA TANZANIA YAONEKANA
MATUNDA YA BALOZI WA PAMBA TANZANIA YAONEKANA

Imewekwa 29th January, 2022 12:52

Wakulima wa zao la Pamba Kijiji cha Mangungu, Kata ya Bukoko Wilaya ya Igunga wamehamasika na kufuata maelekezo ya Balozi wa zao la Pamba nchini, kupanda kwa mistari na kwa…

Kilimo bora
Kilimo bora

Imewekwa 18th February, 2022 13:23

Kilimo bora cha mahindi lazima ufuate kanuni bora za mahindi

Maafisa ogani wapata mafunzo ya m kilimo njombe
Maafisa ogani wapata mafunzo ya m kilimo njombe

Imewekwa 18th February, 2022 13:25

Toka tar 17/2/2022 _maafisa killimo wamepeta mafunzo ya mkilimo .kwasasa tunaamini wataenda kufanya kazi kwa kutumia huu mfumo na wakulima watapata huduma kiurahisi

Kupanda SHAMBA darasa la alizeti
Kupanda SHAMBA darasa la alizeti

Imewekwa 19th February, 2022 10:32

Zoezi la upandaji wa SHAMBA darasa la alizeti mbegu aina ya record kiasi kilo mbili eneo eka MOJA nafasi 75cm KWA 30cm

Ubora wa mbegu za hysun33 kwenye uotaji na ukuaji wa haraka
Ubora wa mbegu za hysun33 kwenye uotaji na ukuaji wa haraka

Imewekwa 22nd February, 2022 12:14

Msahamba darasa yaliyopandwa mbegu aina ya hysun 33 katika kata ya ikhanoda yameonyesha ufanisi mzurikatika uotaji na ukuaji mzuri pamoja na changamoto  mbalimbali kama upungufu wa mvua kipindi cha kupanda…

SHAMBA DARASA LA MCHICHA
SHAMBA DARASA LA MCHICHA

Imewekwa 25th February, 2022 12:19

Mchicha lishe uliondaliwa , kuanzia step ya kupanda hada kuvuna, na wakulima wa kijj cha  kilingi na Afasa ugani wao Violeth  Godwn,kwa kweli unapendeza karbu mjipatie mafunzo zaid : 0754772801

Mafunzo ya m- Kilimo
Mafunzo ya m- Kilimo

Imewekwa 25th February, 2022 12:19

Wizard ya Kilimo inaendesha mafunzo ya m- Kilimo katika mkoa wa kilimanjaroikishirikisha halmashauri ya Hai,Rombo,Moshi-Dc na Siha mafunzo hayo yalifanyika katika Halmashauri ya Hai tarehe 24-25 February katika ukumbi wa…

MAFUNZO YA M-KILIMO KILIMANJARO
MAFUNZO YA M-KILIMO KILIMANJARO

Imewekwa 25th February, 2022 12:19

Wizara ya kilimo imeendesha mafunzo ya M-Kilimo kwa Maafisa Ugani 140 katika Mkoa wa Kilimanjaro ikishirikisha Halmashauri ya Hai, Siha, Rombo na MoshI DC, mafuzo hayo yalifanyika katika Halmashauri ya Hai…

Maafisa kilimo mkoa wa Kilimanjaro wapata  mafunzo ya Mkilimo
Maafisa kilimo mkoa wa Kilimanjaro wapata mafunzo ya Mkilimo

Imewekwa 25th February, 2022 12:20

Maafisa ugani wa mkoa wa Kilimanjaro leo tarehe 24 February 2022 wapatao 140 wamepatatia mafunzo ya matumizi ya M kilimo na wawezeshaji  kutoka Wizara ya kilimo

MAFUNZO YA M-KILIMO KILIMANJARO
MAFUNZO YA M-KILIMO KILIMANJARO

Imewekwa 25th February, 2022 12:20

Wizara ya Kilimo imeendesha mafunzo ya M-KILIMO kwa maafisa ugani 140 katika Mkoa wa Kilimanjaro ikishirikisha Halmashauri ya Hai, Rombo, Moshi DC na Siha kwa siku mbili

Mafunzo ya m kilimo kilimanjaro
Mafunzo ya m kilimo kilimanjaro

Imewekwa 25th February, 2022 12:20

Mafunzo hayalifanika katika wilaya ya Hai ikijumuhisha maafisa ugani 150 kutoka wilaya za Moshi DC,Rombo, sia na Hai ikiwa mwenyeji wa mafunzo hayo ya kuwanoa wataalamu hao kuweza kutumia mfumo…

MAFUNZO YA M KILIMO KILIMANJARO
MAFUNZO YA M KILIMO KILIMANJARO

Imewekwa 25th February, 2022 12:21

Wizara ya kilimo imefanya MAFUNZO

 

 

MAFUNZO  YA  M.KILIMO KILIMANJARO
MAFUNZO YA M.KILIMO KILIMANJARO

Imewekwa 25th February, 2022 12:21

Wizara ya kilimo imeendesha mafunzo ya M.Kilimo kwa maafisa ugani 140 katika Mkoa wa kilimanjaro ikishirikisha Halmashauri ya Hai,Siha,Rombo na Moshi DC yanayifanyika ukumbi wa halmashaur ya wilaya ya hai...

MAFUNZO YA M-KILIMO KILIMANJARO
MAFUNZO YA M-KILIMO KILIMANJARO

Imewekwa 25th February, 2022 12:26

Kati ya maafisa ugani 140 waliohudhuria MAFUNZO ya siku mbili yaliyoendeshwa na wizard ya Kilimo iliyohusisha Halmashauri nne(4) ikiwa ni wilaya ya Moshi Dc,Rombo,Siha na Hai.

Halmashauri ya wilaya ya Hai…

Upeneeema
Upeneeema

Imewekwa 25th February, 2022 12:26

Moja ya mwanasemina akiwa anasoma matarajio ya wanasemina ya m kilimo katika wilaya ya siha ,hai,moshi DC na rombo

MAFUNZO YA MFUMO WA M-KILIMO MKOA WA KILIMANJARO
MAFUNZO YA MFUMO WA M-KILIMO MKOA WA KILIMANJARO

Imewekwa 25th February, 2022 12:26

Wizara ya kilimo imewapatia maafisa ugani 140 wa mkoa wa Kilimanjaro mafunzo ya M-KILIMO ambao imehushisha wilaya ya Hai,Rombo,Siha na Moshi DC yaliyofanyika katika halmashauri ya Hai tarehe 24-25 februari…

M-KILIMO
M-KILIMO

Imewekwa 25th February, 2022 12:27

M-kilimo 2022 Kilimanjaro 

M-KILIMO
M-KILIMO

Imewekwa 25th February, 2022 12:28

M-kilimo 2022 Kilimanjaro 

M-KILIMO
M-KILIMO

Imewekwa 25th February, 2022 12:28

M-kilimo 2022 Kilimanjaro 

MAFUNZO WEZESHI YA MATUMIZI YA MFUMO WA M-KILIMO,MKOA WA KILIMANJARO.
MAFUNZO WEZESHI YA MATUMIZI YA MFUMO WA M-KILIMO,MKOA WA KILIMANJARO.

Imewekwa 25th February, 2022 12:29

Wizara ya KILIMO imeendesha mafunzo ya M-KILIMO MKOA WA KILIMANJARO Kwa maafisa Ugani wapatao 140.zikiwa zimeshirikishwa Halmashauri za Hai, Siha, Rombo na Moshi Dc,lengo hasa ni kuwapatia uweledi na ujuzi…

MAFUNZO YA MFUMO WA M-KILIMO MKOA WA KILIMANJARO
MAFUNZO YA MFUMO WA M-KILIMO MKOA WA KILIMANJARO

Imewekwa 25th February, 2022 12:30

Wizara ya kilimo imewapatia maafisa ugani 140 wa mkoa wa Kilimanjaro mafunzo ya M-KILIMO ambao imehushisha wilaya ya Hai,Rombo,Siha na Moshi DC yaliyofanyika katika halmashauri ya Hai tarehe 24-25 februari…

Mafunzo ya m kilimo kilimanjaro
Mafunzo ya m kilimo kilimanjaro

Imewekwa 25th February, 2022 12:31

Mafunzo hayo yamefanyika kwa siku mbili wilayani.hai

M_kilimo
M_kilimo

Imewekwa 25th February, 2022 12:31

Tunapata mafunzo ya M Kilimo kwa ajili ya kutujengea uwezo tar 24/25_02/2022 Hai district

Wizara ya kilimo
Wizara ya kilimo

Imewekwa 26th February, 2022 11:29

kutoà huduma bora kwa kila afisa ugani kw kuwapatia vitendea kazi

Mafunzo ya M kilimo
Mafunzo ya M kilimo

Imewekwa 26th February, 2022 12:18

Mtumìzi ya simu kwa ajili ya kutoa ushauri kwa wakulima

Kata ya idamba kijiji cha lwanzali
Kata ya idamba kijiji cha lwanzali

Imewekwa 21st March, 2022 19:55

Maelekezo ya jinsi inavyofanya kazi uduma ya mkilimo wananchi wameipokea nakuifurahia

 

Kata ya idamba kijiji cha lwanzali
Kata ya idamba kijiji cha lwanzali

Imewekwa 21st March, 2022 19:56

Maelekezo ya jinsi inavyofanya kazi uduma ya mkilimo wananchi wameipokea nakuifurahia